Miaka kama mitano nyuma mkoa fulani niliwahi kuandikishana mkataba na mtu fulani.
Nina kieneo ambacho ndani ya eneo hilo nilihesabu hatua kadhaa kumkatia mtu huyo kwa makubaliano ya kunijengea nyumba ya vyumba viwili na eneo lake ataliendeleza au kufanya lolote baada ya kumaliza ujenzi wa kile...
Jana usiku baada ya kutoka katika pilika pilika za hapa na pale na mfanyakazi mwenzangu ambae ni jirani yangu, muda wa kama saa sita usiku nikaenda kumgongea geto kwake kwa nja ya kuazima chaji.
jirani alipofungua mlango pamoja na ile mvua na geni alikuwa amewasha ndani kwake lakini alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.