Dark mode
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 732
- 859
Jana usiku baada ya kutoka katika pilika pilika za hapa na pale na mfanyakazi mwenzangu ambae ni jirani yangu, muda wa kama saa sita usiku nikaenda kumgongea geto kwake kwa nja ya kuazima chaji.
jirani alipofungua mlango pamoja na ile mvua na geni alikuwa amewasha ndani kwake lakini alikuwa anatoka jasho sana, nikaamuuliza jirani kulikoni akasema anajisikia homa sana ila asubuhi (leo) atakwenda hospitali.
Asubuhi akaenda zahanati binafsi hizi za uswahilini, joto la mwili baada ya kupimwa likawa nyuzi 39. Dkt akamwambia ungeenda sehemu nyingine wangekwambia una Corona..
Basi akamchoma sindano ya kushusha homa wakamuuzia dawa ya Malaria (Orodar),nimemuacha nyumbani (geto kwake) amejilaza japo bado joto la mwili linaonekana kuwa juu hata ukimuangalia anavotoka na jasho.
Je, hii inaweza inaweza ikawa corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
jirani alipofungua mlango pamoja na ile mvua na geni alikuwa amewasha ndani kwake lakini alikuwa anatoka jasho sana, nikaamuuliza jirani kulikoni akasema anajisikia homa sana ila asubuhi (leo) atakwenda hospitali.
Asubuhi akaenda zahanati binafsi hizi za uswahilini, joto la mwili baada ya kupimwa likawa nyuzi 39. Dkt akamwambia ungeenda sehemu nyingine wangekwambia una Corona..
Basi akamchoma sindano ya kushusha homa wakamuuzia dawa ya Malaria (Orodar),nimemuacha nyumbani (geto kwake) amejilaza japo bado joto la mwili linaonekana kuwa juu hata ukimuangalia anavotoka na jasho.
Je, hii inaweza inaweza ikawa corona?
Sent using Jamii Forums mobile app