1. Kuhakikisha imesimamisha mawakala waaminifu na wasio na tamaa
2. Kutodharau udogo wa kituo kwani ukipeleka wakala asiye eleweka ataruhusu goli la mkono
3. Kutenga na kuwapa mawakala maslahi ya kutosha wasishawishike
4. Ikiwezekana wasipewe tu viapo vya mahakama lakini pia viapo vya dini...
juzi nape akiwa kwenye mkutano izinga alinukuliwa akiwaambia watanzania wasimchague marehemu kwenda ikulu. Hii itasababisha watanzania kupiga Kura ya Hasira ya kuikaa CCM. Nani ajuaye kesho ya m wenzake? ina maana wanaompenda lowasa basi ni matiti Kama yeye lowasa ni marehemu!
Matokeo hata ya Twaweza yalijulika karibu wiki imepita na Kila mtanzania pamoja na wanaccm wanajua bila kubali umri na Mahali alili anajua sio halisi na lengo ni kupotosha UMMA kukubalika kwa lowasa. Hatua matokeo ya wapi kwenye mtandao yanaonyesha lowasa kuingiza kwa zaidi ya aailimia...
Kama atajikita umaliziwadi wa mchakato wa katiba pendekezwa utamgharimu magufuli sana. Labda awahakikishie watanzania kwamba ataanza mchakato kwa kuheshimu naoni ya tume ya jaji warioba.
Niliagiza house girl yapata miezi 10 imepita ili achukue nafasi ya aliyekuwepo ambaye sasa nimempeleka ufundi baada ya kumlea first born vizuri.
Juzi nimepata second born ila huyu house girl mpya imegundulika ana majini na yakimpanda hakuna kulala, anakimbia hovyo, anatambaa kama nyoka na kuna...
Kwa tathmini ya haraka niliyofanya katika kila wanaume 10 ni 4 kati yao wenye kujiamini kwamba watoto alionao ni wake wa kuzaa kwani wengi wa wanaume hulea watoto kwa imani na hawako tayari kupima DNA kwa hofu ya matokeo.
Please kinadada na kinamama fungukeni katika hili.
Heri ya xmass wote.
Baada ya Cdm kujua nguvu ya CCM ni kuhonga hela ilihali wakijua ndo njia pekee CCM wamebakiwa nayo kushinda kabla ya masaa kadhaa kabla ya siku ya kupiga kura,walichomua vijana wa CDM ni kujipanga usiku na mawe,akijotokea magamba na bahasha usiku karibu na nyumba ya mtu anavurumishiwa mawe na...
Kwa kipindi kisichozidi miezi miwili,aliyekuwa mkuu wa mkoa arusha alipelekwa mwanza na wa mwanza kuja ars. Kabla hata hajakaa kwenye kiti aliyeletwa ars kaondolewa na kuteuliwa mkuu mwingine wa mkoa!
Sababu ya haya kutokea ni nini?hizi gharama za uhamisho si kuchezea kodi zetu?
Wanajamvi leo tunaadhimisha miaka 53 ya uhuru kwa watanganyika wote.Naamini tungeuenzi uhuru kwa kudumisha amani,uzalendo na kupiga vita ufisadi.Sidhani kama ni hekima kuwa na kauli mbiu isemaye kuwa mzalendo kwa kupigia kura katiba pendekezwa ili hali ni katiba iliyopuuza maoni ya wananchi na...
Ndugu wanajamvi!Mbunge viti maalum (CCM)amebainika akitumia mbinu chafu ya kutumia idara ya maendeleo ya jamii moshi vijiji kupanga mkakati wa kugawa vyombo vya ndani kwa wapiga kura kama vikombe,bakuli,sahani nk kwa wapiga kura kwa sharti la kuchagua CCM kuanzia ngazi ya shina,mtaa,kata na...
Wazo la kuwekeza kwa wake zetu ni zuri ila chukulia mkewe kakeketwa na u lipoonja ambaye hajakeketwa ukachanganyikiwa!Hapo utafanyaje mkewe aweze kuziba hilo pengo?
Suala la uchepukaji limekuwa haliepukiki na limekuwa changamoto kwa watu wengi. Sishauri sana ila kama imekulazimu kuchepuka chukua tahadhari zifuatazo uwe salama;
1.Uwazi: Uwe wazi kwa huyo unaemchepukia kwamba una njia kuu(mke)na anapaswa kumuheshimu
2.Muda wa mawasiliano: Kamwe asikupigie...
Waziri mkuu amenukuliwa akijibu bungeni leo kwamba wafadhili wamekatisha misaada Tanzania baada ya serikali kuchelewa kulishughulikia suala la ufisadi fedha za Escrow!Je ni jukumu la nani kufanya uchunguzi?
Pili,kama uchunguzi ulifanyika kwa nini ripoti haitoki?
Tatu,wananchi tuieleweje...
Ni haki ya kikatiba kutoa maoni na haki ya watanzania kupata taarifa pia. Kwa mtizamo wangu hofu ya watawala ni kuogopa watanzania kufunguliwa macho kwa kujua ubovu wa katiba pendekezwa. Pili ni kudhihirisha dhahiri uchakachuaji wa maoni ya wananchi kwani ni kwa nini nguvu kubwa itumike kuvuruga????
Nimepanda basi la dar express kwenda arusha than nairobi. Kinachonishangaza pamoja na safari ndefu ya basi bado linaendelea kuokota abiria wa njiani mara same,mwanga,moshi n.k MNATUBOA ABIRIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.