Kwa tathmini ya haraka niliyofanya katika kila wanaume 10 ni 4 kati yao wenye kujiamini kwamba watoto alionao ni wake wa kuzaa kwani wengi wa wanaume hulea watoto kwa imani na hawako tayari kupima DNA kwa hofu ya matokeo.
Please kinadada na kinamama fungukeni katika hili.
Heri ya xmass wote.
Please kinadada na kinamama fungukeni katika hili.
Heri ya xmass wote.