Nkamu, angalia na usikilize moyo wako unasema nini juu ya hilo na mwisho wa siku wewe mwenyewe ndiye utakayekabiliana na matokeo yake kulingana na maamuzi yako na hakuna mwingine.
Lingine nkamu, watoto uwe pamoja nao, wasiwe mbali nawe.
Narudia tena kukushauri, usifanye haraka kuhusu maamuzi...
Mkuu, hiyo isikupe shida sana na kuunyong'onyesha moyo wako. Maisha yenyewe haya ni mafupi angalia usije ukapata shida nyingine katika nafsi yako.
Nimesoma ushauri mbalimbali wa wadau ambao wameeleza hisia zao mbalimbali na baadhi ya wengine wakishauri umwache.
Lakini pia na yeye mkeo...
Mfahamu, akufahamu vizuri na usiwe na haraka ya kuingia katika ndoa.
Uzuri wake umeshapitia mapito hayo na unafahamu tamu na shubiri ya ndoa mwanawani.
Angalia watoto wako Mungu aliokupa kwani hao ndio faraja yako.
Kama yeye ana watoto na wewe una watoto, basi muendelee kuishi kama...
Mwanamke mwenye nia na hitaji la kuolewa aliye na umri kati ya miaka 38 - 48 anahitajika.
Awe na kazi inayomuingizia kipato na mwenye elimu ya kuanzia Diploma na kuendelea.
Nina kazi, elimu yangu ni ya kati na umri ni kati ya miaka 45 - 50.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.