Nauza solar power
Ukubwa: watt 60,battery N 100,Controller na waya wenye urefu wa mita 10
Sababu ya kuuza:tumeunganishiwa umeme wa tanesco thus why nimeama kuiuza.
Bei: laki sita
Nipo chamazi
Mawasiliano:0755 199828 au 0687 949757
baadhi wanajiremba kupita kiasi unamkuta dada domo jekundu km kalamba damu halafu mwingine utamuona hereni kwenye pua km jini .........wanachukiza sana.
mimi mwenyewe niliishatongozwa na wanawake zaidi ya 3 sababu kubwa wanapenda mwili wangu mkubwa hasa kifua kilivyojengeka na siyo kwamba watu wote wenye miili mikubwa wana vibamia km kuna m2 anabisha aje kwangu ahakikishe halafu aje awahadithie.
mpaka anapokuwa na shida ndiyo anakuita honey......anadaiwa laki moja????.....ha ha haaaaaaaaaaa.....halafu ukifikira hata mzazi wako hujawahi mpatia pesa km hiyo hata siku 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.