Mipolisi hii naishanga sana,wanatumia akili za kuambiwa,haichanganyi na zao,foolish¥:-*^¿§§:-"£%!!!!, Mungu atalipiza kisasi juu yenu mipolisisim foolish,zakuambiwa changanyeni zenu.
Yaani! Doctars Wagome na wagonjwa waendelee kufa? Kwani mgogoro ni wa madcta na wagonjwa? mgogoro ni wa madcta na serikali,sasa na hao wagonjwa wana nini madctari jamanii? Hawaikomoi serikali, bali wananchi, yaani waendelee kufa na kupata madhara zaidi,naona huo sio ubinadamu kabisa.wawe na...
Huyu msista tabia yake mbaya,au , mpaka anaingia jamvini live kutangaza,mbaya zaidi kutaka mwanaume wa kuzaa naye na sio kuishi naye.Duuu! Hayuko serious. jiangalie sana.analeta utani hapa Jamvini.
Mbali ya lugha kuwa kitambulisho kkubwa cha utamaduni wa jamii yyte duniani,china japan nk. Wanahakksha kila wanachozalisha kinakuwa na lugha yao ingawa wanaweka na kngereza.Pia ss ni mashuhuda wa nchi nyingi kuhamasisha watu kusoma lugha zao pamoja na kuanzisha vtuo vya utamaduni wao hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.