Search results

  1. ABUBAKARY Barnabas

    Tafadhari kwa wanaojua mshaurini

    Chuo gan ni kizuri kwa ushauri wako
  2. ABUBAKARY Barnabas

    Tafadhari kwa wanaojua mshaurini

    Kuna kijana anataka kusoma degree bado yupo njia panda kutokana na vigezo na pendekezo lake kuna Business administration, Public administration na HR je? ni ipi ni kozi nzuri kulingana na soko la ajira.
  3. ABUBAKARY Barnabas

    Naombeni ushauri nisome kozi ipi nzuri kwa ufaulu huu

    Iamani nishaurini nina diploma in record information and archive management GPA 3.0 je nisome kozi gani degree
  4. ABUBAKARY Barnabas

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Wakuu nisaidieni nimesoma diploma in record information and archive management GPA 3.0 tpsc naomba ushauri nisome kozi gani degree
  5. ABUBAKARY Barnabas

    Naomba ushauri

    Asante lakini upi mtazamo wako juu ya CBE
  6. ABUBAKARY Barnabas

    Naomba ushauri

    Samahani kwa jinsi nilivyo andika ila cha msingi ni maana ya nilichokiandika. Kwa njia moja ama nyingine wapo mwanafunzi wanaokosa ushauli kwa watu wanaowazunguka na wanakuja sehem kama hizi kuomba ushauli hivyo msiwakosoe bila kuwashauli
  7. ABUBAKARY Barnabas

    Naomba ushauri

    Habar natumai wazima nawaomba mnishauli Nimemaliza diploma TPSC (Tanzania Public Service College) course Record, information and archive management GPA 3.0 Natamani niombe mkopo ilinendelee kusoma degree hususa accountancy je nimekidhi vigezo na ni chuo gani kizuri kwa kozi hiyo
  8. ABUBAKARY Barnabas

    KERO Mfumo wa kufuatilia deni kwa tuliokopa Bodi ya Mikopo (HESLB) una changamoto, haufunguki

    Poa mwanangu Asante coz Sana taarifa Kisha Nina sawali je nimesoma Record management GPA 3.0 je naweza soma accountancy kwenye degree
  9. ABUBAKARY Barnabas

    Msaada: Ukipewa Mkopo wa kusoma Diploma ukahitimu. Je, utapewa na mkopo wa kusoma Degree (Elimu ya Juu)?

    Wakuu msaada sawali hivi iwapo mtu Anataka kuomba mkopo wa elimu ya juu alaf mzazi wake mmoja amefariki je Kuna ulazima wa chetcha Kifo ikiwa cheti chat kuzaliwa kimebainisha kama mzazi amefarik
  10. ABUBAKARY Barnabas

    KERO Mfumo wa kufuatilia deni kwa tuliokopa Bodi ya Mikopo (HESLB) una changamoto, haufunguki

    Wakuu msaada sawali hivi iwapo mtu Anataka kuomba mkopo wa elimu ya juu alaf mzazi wake mmoja amefariki je Kuna ulazima wa chetcha Kifo ikiwa cheti chat kuzaliwa kimebainisha kama mzazi amefarik
  11. ABUBAKARY Barnabas

    RASMI: Diploma waanza kupokea mikopo kutoka HESLB, soma muongozo hapa

    Iamavniana sawali hivi iwapo mtu Anataka kuomba mkopo wa elimu ya juu alaf mzazi wake mmoja amefariki je Kuna ulazima wa chetcha Kifo ikiwa cheti chat kuzaliwa kimebainisha kama mzazi amefarik
  12. ABUBAKARY Barnabas

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Wakuu Kuna mwanaume anatatizo la vidonda vidogovidogo katika sehem zake na uvimbe je tatizo nn na ataponaje?
  13. ABUBAKARY Barnabas

    Kwanini TANESCO isivunjwe?

    Kwaiyo tubadilishe uingozi
  14. ABUBAKARY Barnabas

    Kwanini TANESCO isivunjwe?

    Miaka mingi toka nchi yetu imepata Uhuru, lakini mpaka leo ina kero nyingi mno. Nafikiri viongozi kuna sehemu kubwa tu wanashidwa kufanya vitu kwa ajili ya waliowadhamini
  15. ABUBAKARY Barnabas

    SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

    Naungana na wewe kwasababu hata kuna tifauti za falsafa za timu hiz, mbinu za makocha na wachezaji waliokuwepo katika vikosi vyao
  16. ABUBAKARY Barnabas

    SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

    Ninacho fahamu hakuna mchezaji mbaya duniani ila vitu vitatu vikiungana unaweza kupata mchezaji bora 1, uwezo wa mchezaji binafsi, 2 mbinu za mwalimu kisha 3 falsafa ya mwalimu na benchi la ufundi ndio maana mchezaji anafeli sehemu na kufanikiwa sehem mfano nafikiri benchika anapenda timu itokea...
  17. ABUBAKARY Barnabas

    SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

    Ni sowndowns, esperence au national alhaly
  18. ABUBAKARY Barnabas

    SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

    Kuhusu scouting inaebdana na falsafa ya timu na mahitaji ya kocha mfano simba ina falsafa ya pasi fupifupi kuanzia chini ndio maana simba inapoteza sana mipira ya juu kisha unavyo iona yanga inacheza mpira direct ndio maana scouting zinatofautiana
  19. ABUBAKARY Barnabas

    SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

    Usajiri ni kamali hata timu kubwa kama real madrid, maan U man City, arsenal pia zinafeli kwenye usajiri mfano haaaataaaa injinia pia amfeli kwa konkoni, skudu, ngushi, metacha, na yule kipa mwingine
Back
Top Bottom