SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

View attachment 2848901
Kiburi na jeuri ndo imefanya mmekufa kibudu
Kama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.
Kwa mfano mngeifunga Al Ahly, Wydad, Mamelod au Al Hilal hizo bao 5? Mngefanya bonge la sherehe na ingekuwa mapumziko ya wiki nzima kukumbuka ushindi
Mngekuwa bora sana kuliko Simba msingefungwa 3-0 na Bulzadad Algeria 😁😁😁😁😁
 
Kama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.
Kwa mfano mngeifunga Al Ahly, Wydad, Mamelod au Al Hilal hizo bao 5? Mngefanya bonge la sherehe na ingekuwa mapumziko ya wiki nzima kukumbuka ushindi
Mngekuwa bora sana kuliko Simba msingefungwa 3-0 na Bulzadad Algeria
😁😁😁😁😁
Hauna akili unajieleza sana lakini roho imekuuma sana na wewe ingekuwa Bora ungemfunga waydad kule Morocco
 
Hauna akili unajieleza sana lakini roho imekuuma sana na wewe ingekuwa Bora ungemfunga waydad kule Morocco
Kwa mfano Utopolo angeifunga Al Ahly goli 5, unafikiri nini kingetokea?
Waliokuleta duniani wangekuwa na akili ungeshuhudia utopolo anaifunga Al Ahly kwa mkapa
 
Kwaiyo Simba ya Sasa inatumia Falsafa gani? maana hawapo kwenye pasi fupi fupi Wala ndefu!!!
Wamebaki na pila ndumba/ ulozi ambalo nyota ziki goma wanadhalilika, nyota ikiwaka Onana anaonekana Mkali kuliko Chama.
Onana ku kiwasha tena mpaka nyota I wake.
Ninacho fahamu hakuna mchezaji mbaya duniani ila vitu vitatu vikiungana unaweza kupata mchezaji bora 1, uwezo wa mchezaji binafsi, 2 mbinu za mwalimu kisha 3 falsafa ya mwalimu na benchi la ufundi ndio maana mchezaji anafeli sehemu na kufanikiwa sehem mfano nafikiri benchika anapenda timu itokea kwa haraka na irudi baada ya kupoteza mpira 2 na kwa falsafa hio hutomuona chama akiwaka na fikir juu ya utumiaji wa onana hanaonekana kwenda mbele marachache kuliko pasi za kushambulia ILA UKWELI CHAMA NI BORA KULIKO ONANA ILA NI MBINU ZA MWALIMU
 
Kwa mfano Utopolo angeifunga Al Ahly goli 5, unafikiri nini kingetokea?
Waliokuleta duniani wangekuwa na akili ungeshuhudia utopolo anaifunga Al Ahly kwa mkapa
Mama yakoo mwenyewe iloooo kolooooo roho imekuumaaa wenzioo kushinda janaaaa ilooooo unajieleza kama mjane msimbe wewe
20231221_102533.jpg
 
Hizo ni timu tishio kwa Yanga tu kwa Simba ndiyo tunawataka hao kama Al Ahly, Mamelody, Wydad, Al Hilal na timu kubwa ili tujue tumefanikiwa kivipi kisoka. Yanga imechukua miaka 25 kuingia kwenye makundi ya champion League kwahiyo bado watoto.
Yanga ukiwauliza ni timu gani kubwa ambayo umeifunga watakuambia TP Mazembe, uliifunga ulikutana nayo wapo watakuambia shirikisho
Yanga wanatamani wacheze hata na Ndanda kama inawezekana ili waingie fainali ya Champion League. Al Ahly anawasubiri kwao

Yanga anatoboa nyie mtabaki hapo hapo. Kama yanga ni mbovu goli 5 zilipita wapi

Ni aibu kufungwa goli 5
 

Kama Al Ahly, Wydad, Mamelod na Al Hilal msimu uliopita wangecheza shirikisho na kuchukua kombe basi hakika kuna watu wangefukuzwa kazi.
Timu changa kisoka kucheza shirikisho mpaka fainali ni mafanikio makubwa sana

Sana
Simba habari yake ni kuishia makundi na kuwasha moto
 
Kama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.
Kwa mfano mngeifunga Al Ahly, Wydad, Mamelod au Al Hilal hizo bao 5? Mngefanya bonge la sherehe na ingekuwa mapumziko ya wiki nzima kukumbuka ushindi
Mngekuwa bora sana kuliko Simba msingefungwa 3-0 na Bulzadad Algeria

Mualgeria akija tz anakufa 5
 
Sana
Simba habari yake ni kuishia makundi na kuwasha moto
Sawa.
Ndoto ya Yanga ni kucheza makundi champion kwahiyo akivuka hapo ni bonusπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kwahiyo ushindi wa jana unamtambia Simba, Al Ahly, Mamelod au Wydad?
 
Na kweli yanga akichomoka hapa mnaweza shituka yupo nusu fainali,

Wewe subiri
Unajua wengi wanaamini ni maneno ya ushabiki

SSC hata akichomoka, hana faida
Alishachomoka sana makundi na hajawai kuwa na impact Zaid ya kufa kiume
 
SSC mnatakiwa kuona namna ambavyo Dar Young Africans wanavyocheza, ni kazi nzuri ya Hersi Said, Injinia.

Kaeni nae chini awape mbinu.

Hata yeye alijifunza kutokana na mafanikio SSC ya kipindi hicho chini ya kina Hans Pope, akajifunza pia namna ya kulobby kupitia kina barbara. Now ni masterminder wa kulobby na sajili za kimkakati, a silent killer.

Jamaa ameshaona sajili za youtube na ten percent hazina ishu tena na anasikiliza kile ambacho kocha ameshauri.

Mkitaka kuona tofauti ya Hersi Said, Injinia na vichwa maji vya msimbazi subirini muone usajili wa dirisha dogo. Mtaelewa what I mean .

Kaeni chini na Hersi Said, Injinia awafundishe namna ya kufanya sajili za kimkakati. Leo hii hata game ikirudiwa, SSC inatobolewa kirahisi tu. Ukuta wa Yanga upo imara, Ukuta wa SSC hauwezi kumzuia Aziz Q, Pacome Misonda etc

Over 5 years mmecheza robo fainal, SSC hamjawahi kucheza nje ya hapo….. a big comfort zone of SSC.

I bet ,Yanga akichomoka group stage , mtamuokota nusu fainal ya CAF , anacho kikosi cha kufanya hivo, na itakuwa ni aibu yenu SSC kutuaminisha for 5 years mfululizo kuwa robo fainal ndio mpango mzima. Shirikisho mnaishia robo fainal na kufa kiume, Yanga akavunja huo mwiko. CAFCL nayo mnaishia robo, na Yanga ndio atavunja huo mwingi this time.


Hongera Hersi Said, Injinia kwa kazi nzuri, kwanza inayoanzia kwenye usajili ambao sio mchongo, hao wengine waache waamini kwenye kupuliza ndumba na kina manula wao.

Wewe fanya kazi, kijana mtanashati, smart and intelligent hakuna mambo ya kuweka tumbo mbele, fundisha hayo mazee ya msimbazi namna ya kufanya kazi as a smart young guy .

Naamini Yanga atacheza nusu fainal, SSC Muishie makundi, maana hata mkitoboa hamtakuwa na impact yoyote, mtakuja kutuambia tu mmekufa kiume.

Tumechoka kusikia huo upupu over 5 years .
Yataje hayo mafanikio ya Yanga ambayo Simba hawajawahi kuyafikia.
Umechambua upande wa kufanikiwa tu unataka kuniambia usajili wa Konkoni,Bigirimana na Metacha ulifanywa na nani ?
Vukeni kwanza makundi ndipo muongee nje ya hapo tulieni.
NB: Simbs SSC ni wa pili kwenye kundi lake na wote wanamichezo sawa minne
Yanga ni wa pili kwenye kundi lake akiwa mbele kwa mchezo mmoja.
 
Hauna hoja wewe ndo maana umepigwa Tano yanga na waydad kakupiga kimoja View attachment 2848931
Sawa
  • Kama Simba alitoka draw na Al Ahly na wewe uliifunga Simba goli 5. Ulishindwa vipi kuifunga Al Ahly?
  • Kama mlifunga Simba goli 5, ilikuwaje mkafungwa 3-0 Algeria?
Bora Simba iliyofungwa 1-0 kuliko Yanga iliyofungwa 3-0 halafu ball possession ilikuwa mnaongoza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sawa
  • Kama Simba alitoka draw na Al Ahly na wewe uliifunga Simba goli 5. Ulishindwa vipi kuifunga Al Ahly?
  • Kama mlifunga Simba goli 5, ilikuwaje mkafungwa 3-0 Algeria?
Bora Simba iliyofungwa 1-0 kuliko Yanga iliyofungwa 3-0 halafu ball possession ilikuwa mnaongoza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Goli goli tu wewe hauna hoja ndo maana viburi vyenu mkala chuma 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom