EXPRESSION OF INTEREST TO SUPPLY SERVICES FOR CBM COUNTRY OFFICE TANZANIA, 2016/2017.
General information:
CBM is an international Christian development organisation, committed to improving the quality of life of persons with disabilities in the poorest countries of the world.
Objectives of...
.MAPINDUZI KTK MAVAZI .
Mobile Tailoring and Fashion Designing (Huduma Inakufuata Ulipo-Okoa muda na fedha)
-Kwa nini usumbuke kwenda kwa Fundi wakati unaweza kufuatwa ofisini au nyumbani kwako.
-Kama upo Dar es Salaam- Piga 0715 680773/0687 048421
Utafuatwa, Utafanyiwa Fashion...
MASOMO- BURE KWA WENYE SIFA.
- USHONAJI NA FASHION DESIGNING
TRUE ROAD COLLEGE OF DESIGNING, TAILORING AND BEAUTY
-Inapenda kutangaza kwamba inatoa fursa/nafasi 3 Kwa mafunzo ya kushona na Fashion designing ktk chuo chake kilichopo DSM, TABATA DA WEST. Kama kuna mtu unamfahamu...
MASOMO- BURE KWA WENYE SIFA
.
- USHONAJI NA FASHION DESIGNING
TRUE ROAD COLLEGE OF DESIGNING, TAILORING AND BEAUTY
-Inapenda kutangaza kwamba inatoa fursa/nafasi 3 Kwa mafunzo ya kushona na Fashion designing ktk chuo chake kilichopo DSM, TABATA DA WEST. Kama kuna mtu unamfahamu...
TRUE ROAD COLLEGE of FASHION, TAILORING & BEAUTY STUDIES
MSIMU MPYA- TUNAANZA MASOMO TAREHE 6 APRIL,2015.
Usajili Unaendelea. JISAJILI SASA-(Kupitia chuoni DA WEST au OFISI zetu Kimanga stendi)…… Waweza kutumia form kwa njia ya mtandao- Utalipia unaporudisha form.
FASHION &...
MAHALI: DAR WEST- TABATA
MASOMO YANAYOFUNDISHWA
1. Fashion aina zote-Nguo za kawaida, mitindo aina yote, nguo za send-off, Kitchen Part, Harusi nk
2. Salon- Kupamba Maharusi, Kusuka, Kuweka dawa, weaving, rollers, Kufunga Vilemba. nk
WALENGWA:
Wanaoanza kabisa (Beginners Class)
Wenye...
Kuna taarifa kwamba moto mkubwa umezuka muda huu mabibo hostel.
Mwenye ndugu pale,au jamaa aulize na atupe undani zaidi
====================
Taarifa zlizotufikia hivi punde ni kuwa moto mkubwa umezuka katika Jengo B lililopo ndani ya Mabibo Hostel zinazomilikiwa na kuendeshwa na Chuo Kikuu...
Asante kwa ushauri,
Wanaoanza kabisa (Beginners Class)..............Tshs 200,000.....huchukua mwezi mmoja
Wenye uzoefu kidogo (Intermediate Class),,,,,,Tshs 250,000......huchukua mwezi mmoja
Utaalamu maalumu (Master Class),,,,,,,,,,,,,,,,,,,Tshs 400,000.....huchukua mwezi mmoja...
True Road College of Fashion Designing, Tailoring & Salon studies
MAHALI: Dar West - Tabata
MASOMO YANAYOFUNDISHWA:
1. Fashion aina zote-Nguo za kawaida, mitindo aina yote, nguo za send-off, Kitchen Part, Harusi nk
2. Salon- Kupamba Maharusi, Kusuka, Kuweka dawa, weaving, rollers, Kufunga...
Maana yangu ni kwamba ktk sifa hizo, inafuatana mtu atajieleza vipi, ni kama kazi, kukosa sifa moja haimaanishi hufai- ila unashawshi vipi jopo kwa sifa nyingine ulizo nazo na unajitetea vipi kwa hiyo unayokosa ndio mjadala....Kwangu mimi sifa zote hizo zinafaa.....ila sio kwamba sifa moja kama...
MIDAHALO YA WAGOMBEA UBUNGE- NDANI YA VYAMA-CHADEMA IONYESHE NJIA.
Utangulizi.
Nimeshiriki chaguzi nyingi sana maishani mwangu. Na mwaka huu nimeweka wazi dhamira yangu ya kushiriki tena. Katika kushiriki kwangu, nimeona mapungufu ktk vyama husika inapokuja kura za maoni. Kwa mfano mwaka...
Kontena Linahitajika:
Ndugu yangu ameomba nimuwekee tangazo hapa. Anatafuta Container / kontena la kupanga kwa kipindi cha miaka miwili. Kama unalo au ndugu yako analo naomba nijulishe, kuliko kukaa bure walau apata ya chai kila mwezi.
Habari wana jukwa,
Ndugu yangu anataka kuanzisha shule. Lakini hana majengo. Taratibu ni kwamba lazima awe na majengo ya kwake sio kupanga....sasa anabakiwa na yafuatayo;
1. Ama asajili kwa jila la mwenye eneo, na mwenye eneo ndio awe kama mmiliki. Je mkataba wa aina gani unaweza kumlinda yeye...
SHULE YA KUPANGA(KUKODISHWA) INATAFUTWA.
Ndugu yangu ameniomba nimuwekee TANGAZO hapa. Anatafuta shule/majengo yanayopangishwa. Kama una taarifa , unajua ama uneona sehemu nitaomba unijulishe... Iwe Dar es Salaam, Pwani(Kibaha) au Mbeya(Mjini, Rungwe, Tunduma), Morogoro, au Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.