Search results

  1. Mkwai

    DODOMA: Zahanati hufungwa hadi wiki mbili kila wakati mganga anaposafiri

    Huenda ni taarifa ya muda mrefu au mwandishi hakupata taarifa sahihi au ameamua kwa makusudi kuupotosha umma. Eneo hili lina usafiri wa mini buses kwenda pande zote (Ruaha Mbuyuni na Mpwapwa pia), isipokuwa gari hizi hazianzii eneo hilo, zinapita kutokea pande zote; si eneo rafiki kwa dharura...
  2. Mkwai

    Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

    Kwenye swala la kupata mimba ndani muda mfupi kuna mengi yanasemwa, muhimu kwenda kwa wataalam wa afya ya mama na mtoto watakushauri kitaalam na si kimazoea. Kimazoea kila mtu atakuwa na uzoefu wake katika kulishuhurikia swala. Kuna dada aligundua ana mimba akiwa na mtoto wa miezi sita...
  3. Mkwai

    Suala la Kodi TRA: Magufuli, kwa mwenendo huu utashindwa tu

    Kodi ndani ya kodi, railway Dev levy n.k. kuna tatizo mahali, na ni la muda mrefu sasa. Wadau wamelalamika kwa muda mrefu lakini hakuna kinachoonekana kurekebishwa; labda kwa sababu tunalalamika na wakati huohuo tunaendelea kuagiza kwa wingi hivyo wachukua hatua wanaona haina sababu ya kubadili...
  4. Mkwai

    TRA valuation system ya magari haiko fair

    Soko la magari JP ni soko huria, watu huuza magari yao kupitia hawa ma ajent (kampuni za kuuza magari) na baadhi ya kampuni hununua magari na kuyauza wao. So swala la gari imetembea kilometer ngapi si la kulihusanisha na bei moja kwa moja (100%). Unaweza kupata gari iliotembea km nyingi kwa bei...
  5. Mkwai

    Usafiri wa mabasi kwa baadhi ya mikoa sasa kuchukua mpaka siku mbili kufika

    Nimeshauri 100 kuwa ni ya kiwango cha juu, ili kuwa na wastan wa walau spidi 60 au 70 kwa safari, sehemu za 50km/h tunazo nyingi sana kwenye barabara zetu. Lakini pia 100 ni spidi ya kawaida sana kwa magari yetu ya kisasa lakini pia sehemu kubwa ya barabara zetu zimeboreshwa.
  6. Mkwai

    Usafiri wa mabasi kwa baadhi ya mikoa sasa kuchukua mpaka siku mbili kufika

    Kuna haja ya kufanya marekebisho kwenye utaratibu wa ufundishaji wa vitendo kwa madereva wa PSV, mafunzo yawe ya muda mrefu zadi (miezi sita na kuendelea, pia speed ya mafunzo iwe 80 - 100, na wasafiri umbali mrefu zaidi). Pia utaratibu wa speed kwa mabasi ya safari ndefu uangaliwe, yaruhusiwe...
  7. Mkwai

    Kijana huna haja ya kuharakisha kuoa eti uwahi kupata watoto usije kuitwa babu

    Kupata watoto mapema au la inategemea na tafsiri ya muhusika mwenyewe; kwa dunia ya sasa kupata mtoto mapema au kuchelewa haitarajiwi uje kusaidiwa na mtoto. Wengi wanaochelewa kupata watoto sababu kubwa ni muda, huwa wana majukumu mengi ambayo wanadhani yatawanyima nafasi ya kumuhudumia mtoto...
  8. Mkwai

    Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

    Kwa nini mlima ukiwa jirani unaonekana wa kijani, ila ukiwa mbali huonekana wa blue?
  9. Mkwai

    Kushtua gari ya automatic

    Mafundi wetu hawa! Mkuu unamiliki gari? Au majaribio unafanyia kwenye magari ya wateja wako?
  10. Mkwai

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Nionavyo mimi hiyo ni namna/njia ya kuwapunguza nguvu upande wa pili na hata kuwashinda. Sometimes you need to adopt your opponent ideas kuweza kwenda naye sawa au kumshinda. Tangia wakati wa kampeni, njia iliyotumika ya kuongea lugha ya upinzani ilikuwa ni mpango maalum kwa watu wa kawaida...
  11. Mkwai

    Kisheria na kiuhalisia: ZEC wanakwamisha Tanzania nzima

    Kwa maoni uangu, chama chetu kimeteleza, na kwa kuwa wakubwa wanaamini hakuna mbadala wametoa sababu kupitia ZEC. Kitakachofanyika sasa ni kuifanyia kazi sababu namba moja kwa ustadi mkubwa.
  12. Mkwai

    Kisheria na kiuhalisia: ZEC wanakwamisha Tanzania nzima

    Mtikila angekuwa hai (mungu amrehemu), angeshakuwa ametinga mahakamani kupinga haya mazingaombwe. Kuyaongea tu kwenye vyombo vya habari kama wafanyavyo baadhi ya viongozi haisaidii. Jamaa watapiga kimya na kuendelea kwa namna wanavoona inawapendeza.
  13. Mkwai

    Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

    Safari ya Ethiopia lini?
  14. Mkwai

    Imewezekanaje takwimu za majimbo ya Uzini na Chwaka Zanzibar zifanane?

    Mmh, labda. kama usahihishaji ni kutype upya then yaweza kuleta mashaka miongoni mwa watu; hata kama ni ya kweli. Muhimu Tume wajitahidi kuwa makini sana tuweze kuvuka wakati huu kwa utulivu tunaoutarajia.
  15. Mkwai

    Kuepusha Shari: Ushauri wa Bure kwa Mbowe, Tume ya Taifa na CCM Kuhusiana na Kuaminiwa kwa Matokeo

    Ushauri mzuri, lakini pia inaonyesha tume kazi yake ni kusoma tu kile wanacholetewa, hawahakiki, baadhi ya taarifa zimeonekana kufanana. ~
  16. Mkwai

    Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

    Ifike mahali haya mashirika ya umma yajiendeshe. Wanajisahau kwa kuwa wanajua vyovyote iwavyo kodi ya wananchi itawabeba.
  17. Mkwai

    Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

    Maajabu mengine ya wakati tulionao. Vizazi vijavyo vitatuzungumza kuwa ni wa hovyo sana.
  18. Mkwai

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Inawezekana watanzania wamezoea kudanganywa; ukweli ukisemwa hawauelewi.
  19. Mkwai

    Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

    ~[VIDEO]https://www.youtube.com/results?search_query=magufuli+ na+kingereza[/VIDEO
  20. Mkwai

    Wachina waanza kutengeneza Mchele feki wa plastic

    https://www.youtube.com/watch?v=T55tz4qwFMo http://www.chinahush.com/2009/04/24/how-to-identify-fake-chicken-eggs/
Back
Top Bottom