Air Tanzania iliokuwa inaondoka leo Kigoma nusura kuanguka wakati ikiruka na imejipiga chini ndani ya bwawa ila hakuna abiria aliyepoteza maisha.
========
Habari zaidi..
Ndege pekee ya Shirika la Ndege la Tanzania "Air Tanzania" imepata ajali wakati ilipokuwa inajiandaa kuanza safari ya kutoka...
vyanzo vya taarifa kutoka kgm zinasema chadema wamempa red cad jaji anaesikiliza kesi iyo.hatuwa iyo imefkia ni baada ya jaji anaesikiliza kesi iyo kukataa ushahidi wa video ambao angeutowa ali mley mgombea wa chadema. hapo jana.je ni video gani iyo?hakuna anaejuwa ni video gani. vyanzo...
naona kumekuwa mada nyingi dhidi ya warabu ,mwangalie mfalme wao kabila lake ni al. busaid. kwa waliowahi kuishi kigoma ujiji kuna sehem inaitwa busaid na huko ndiko walipo toka mababu zake. Ukienda oman kuna mji unaitwa salalah huko utakuta watu wenye asili ya tanzania i mean black kama...
Aliyekuwa mkurugenzi wa Kigoma Mjini na ndiye aliyempa ushindi feki mbunge wa Kigoma Mjini hataki kuja kujibu shtaka.
Wana JF, atakayemwona amkamate na amrudishe Kigoma kwani yeye ni mshtakiwa wa pili ila mahakama imeanza kuskiliza kesi kutoka Kigoma.
JAMANI LEO TULIANGALIE ILI SWALA LA SUMATRA WAO KUTOA VYETI VYA UBAHARIA AU KWA KIFUPI MARITIME YOTE KWA UJUMLA WANAOFUNDISHA NI DMI CHETI,MTIHANI DMI VP VYETI WATOE WAO? MBONA DL HAWATOI WAO? Nyingine kali kila bada ya mika4 unakwenda kurenew vyeti vyako tena kwa wiki 4 mi naona jukum lote...
jamani naomba mnisaidie kuna imigration officer mmoja hapa mkoani kigoma kila akimwona mtu mweupe hasa wazungu na wahindi kavaa overroll tu basi kosa atauliza pass na work permit bila kujali huyoanaemuuliza ni mwenyeji au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.