Search results

  1. D

    Mahakama ya Kadhi faida na hasara zake, toka kwa msomi wa makahama za kadhi

    sioni umuhimu Wa kijadili mahakama ya kadhi kwa nchi yetu kwa sababu nchi yetu haina dini. kwa hiyo iwapo tukiruhusu kuwa na mahakama ya namna hiyo inamaana nchi yetu itakuwa imeaanza kuingiza mambo ya dini katika muhimili wake. waislam kama wanaitaka hiyo wawe wanamalizana humo miskitini kwao...
  2. D

    Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

    voda phone 875 imei :359385050335662 msaada please kui- unlock
  3. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Jogoo 10 hao wako wameshindwa kutetea na kupanda Kwa sababu unawalisha broiler mash ambayo inawafanya wananenepa sana. Hata binadamu akinenepa sana kwenye suala la uzazi kunakuwa na shida. Pia kuhusu ukubwa wa wazazi wao Ni kutokana na uchaguzi mzuri Kwa ajili ya mbegu. Hii ipo wazi tu hata...
  4. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Inawezekana@MRSH kabisa.
  5. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Gama Mimi ninachoandika nimehakiki Kwa kufuga mwenyewe si Kwa kusoma au kusimuliwa. Wanataga vizuri sana tu na hata majogoo yake huwa yanakuwa makubwa sana. Fanya utafiti kaka
  6. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Rapherl wale huwa wanatengwa baadhi Kwa ajili ya kupata vifaranga. Kumbuka huwezi pata vifaranga bila mayai kurutubishwa. Kuhusu kuanguliwa na mashine si tatizo Kwa sababu Haya mayai ya kuku Wa kienyeji waweza angulisha Kwa mashine pia.
  7. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Wale Ni kuku wazuri tu ila tatizo lipo kwenye vyakula wanavyokula.
  8. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Sajumo, wapo pia mitetea chunguza vizuri.
  9. D

    Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

    Ni mayai ya kawaida tu ya aina hiyo hiyo ya kuku . huwa wanatengwa Kwa ajili kupata vifaranga. pia hao Wa nyama unaweza wacross na kuku Wa kienyeji na wakaadopt kabisa. nimeshawahi kujaribu kuwafuga kienyeji.
  10. D

    Jifunze English tenses kwa Kiswahili

    Jita mobile naomba ukitoa aina ya tense ufafanue kama ulivyoanza mwanzo
  11. D

    Jifunze English tenses kwa Kiswahili

    hili darasa ni zuri sana naomba liendelee siku baada ya siku, hakika litaokoa wengi
  12. D

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Ni nzuri sana@sword coz Kwa tz nzima na east Africa Ni NIT tu Ndo wanatoa hiyo course
  13. D

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Mkagati kwa udereva Ni lazima uwe na leseni yaani kiufupi Ni kwamba hawafundishi beginners . Kuhusu evening Kwa degree na diploma hiyo programme imeanza tangu mwaka jana. So Kwa mantiki hiyo inategemea na demand yenu kama mpo Wa kutosha mnaohitaji evening session watawatekelezea.
  14. D

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Ndugu yangu Babo Kwa course za madereva unahitajika uwe tayari umeshajifunza udereva na unamiliki leseni Kwa muda usiopungua mwaka mmoja.
  15. D

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    adinag huo utaratibu haupo ulishafutwa kitambo. Kwa sasa wanaoweza kutumia utaratibu huo Ni wale Wa diploma na certificate tu. pia kuhusu ada Kwa degree Ni million 1.5 na dip Ni million 1. Kwa wale wanaolizia hostel za chuo ukifika utaulizia Kwa dean of students then watakupa form za kuomba then...
  16. D

    Binti miaka 16 atoa siri za freemason

    Freemason hausiani na uchawi jamani ila ni uchunguzi Wa mambo makuu ya Mungu Kwa kupitia mazingira tuliyonayo. Na hawa watu ndiyo wanaotoa misaada kijamii Kwa wingi duniani.
  17. D

    Binti miaka 16 atoa siri za freemason

    hahahahaaaa naomba ifahamike kuwa freemanson hausishi wanawake ila ile na brotherhood. huyo binti anajitafutia umaarufu.
  18. D

    Nit

    e-mail ni info@nit.ac.tz, website: National Institute of Transport. P.O.BOX 705 Tel +255 222400148/149 na fax:+25522222443149
  19. D

    Nit

    Karibu kijana tuongeze wataalamu wa usafirishaji.
  20. D

    Msaada namna ya ku- unlock moderm ya vodacom.

    Thankx mshihiri I will work on it.
Back
Top Bottom