Naandika kuhusu mambo ambayo yamekuwa yanafanyika mwenye vyombo hivi vya habari pendwa na vyenye watumiaji wengi. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ukuaji mkubwa wa tasnia hii ya habari hapa nchini, lakini katika ukuaji huo kumekuwa na mambo ambayo yanafanyika au kufanywa ambayo yanakua...
Kazi ni nini?
(Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili sanifu).
Kazi ni utumiaji wa nguvu,juhudi, maarifa katika jambo au jitihada, bidii, utendaji.
Katika miaka ya hivi karibuni kumeibuka na wimbi kubwa la tatizo la kukosa nafasi za kufanya kazi. Lakini tatizo hili Kumekuwa likilalamikiwa sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.