https://www.telltalesonline.com/43429/best-selling-female-artists/
List hiyo hapo ya best selling female artist of all times. Inaongozwa na Maddona inafuatiwa na riri then Mariah carey. Hakuna cha queen bee. Taylor swift Whitney Houston (RIP) Ariana Celine dion wala cha nani nani. Let us take...
Bado sijaona wala kusikia Artist wa kike kumzidi Rihanna hakuna cha beyonce nicki minaj wala taylor swift. Wote hakuna anayeleta taste kama rihanna. Wakumzidi riri bado hajatokea.
Naona nimevamiwa na wafia dini? [emoji23] kinachowafanya waarabu waonekane matajiri ni matumizi yao na Maisha ya anasa Yanayofanywa na Arab elites. Kupanda maprivate jet [emoji3575] kufanya ma birthday ya kifahari. Kuinvest kwenye ma team ulaya etc. lakini kaeni mkijua lile ni tabaka la wachache...
Siongelei kulinganisha na Afrika na ongelea kuwalinganisha na wazingu pamoja na washina ambao licha ya kuwa na rasilimali chache wanamaendeleo mno tofauti na waarabu
Tumeona the way harmo,rayvanny,zuchu mbosso wakipewa support na attention wanayoitaka. Wamepewa interviews za kutosha.wameandaa ma ep na kutoa album kadhaa huko wakifanya collabo na wasanii wakubwa wa kinigeria na wapiwapi huko.
Lakini hali ni tofauti kwa lavalava. Akitoa nyimbo hakuna msanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.