Hawa wa huku kwetu ukimkuta mrefu basi mwembambaaa,tofaut na hao wanao miili ya kiuanaume halisiaπππ€π€π€,nadhan wao wakakula sanaaa vyakula vya asili kuliko huku
πππππππππππππ Ivi mwenyewe akiona comment ka hii inamuhusu atacheka,ata shangaa au atasikitika πππππππ€£π€£π€£π€£π€£ maana mm vyote vimenijia kwa wakat mmoja.
Alio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.