hapa kuna majina zaidi ya 4000,hawa ni watu waliochaguliwa na TCU ususani kwa course ambazo hawakuzijaza na wengine hata hivyo vyuo hawakuviomba kabisa.
Kwa upuuzi wa nchi hii tusitegemee makubwa,coz kuogelea kapelekwa muhindi kuiwakilisha tz matokeo kaambulia kuwa wa mwisho.wanachagua washiriki kiswahiba baada ya kuwapeleka wanamichezo wanawapeleka watu wakatalii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.