Unapokuwa nacho unawasaidia tu -alhamdullillah
Unapokosa unawaambia najua wataelewa - alhamdullillah min kul hali
Uzuri wa wazazi ni waelewa sanaa tofauti na mtu tu aliyekuwepo mbali na wewe na asiyekufahamu vizur ila ugumu unakujaga kwenye matatizo ya lazima hapo vichwa vinawakaga moto...
Keep it up... sista wetu
Hizo nyau sinazoitwa shemeji ndio zinanichelewesha kuoa, the way walivyooa sista zangu na zinavyowapelekesha yaani ni kuna vijanaume vya ovyo sanaa siku izi
Hivi mnafatilia hiyo mikutano inayoendelea maana hili swali limekuwa ndio msingi wa huu uzi
Kiukweli huko unaongea lugha yeyote then watu wa kutafsir watakutafsiria
Putin mwenyewe hajaongea kingereza kwenye hiyo mikutano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.