Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,176
- 56,688
Magufuli asingekwenda huko.Anajua Putin ni Beberu lingine,linatumia njia ya kupinga Neocolonialism na lenyewe linafanya hayo hayo.Miafrika ilivyo mipumbavu imekuwa manipulated na Propaganda za Urussi.Waoga hao wanajua mzee Piutin ajaweka ulinzi wa kutosha na wanaweza kushambuliwa na mlipuko wowote kwa sifa alizokuwa anapewa Magufuri Kama simba wa Africa nna 100% angeenda