Maandamano ya Mbowe ni kutaka kujiimarisha CHADEMA.
The Moment Mbowe anamuacha Lissu kwenye kamati ya maridhiano 6 x 6 Lissu aliamua kufunga roho yake kwa kutokubaliana na maridhiano hata ndani ya chama aliendelea kumpinga Mbowe juu ya maridhiano hayo ambayo yalileta mpasuko ndani ya CHADEMA...
Hakuna mwenye uwezo wa kufanya hivyo kwasasa wamefanya chama kuwa sehemu ya kuchumia ndiyo maana wenye Pesa wanaweza kuwapelekesha watakavyo.!
Nani wa kumuhoji Mbowe kwasasa anaamua na kupanga kila jambo ametegea uchaguzi ufike awabane CHADEMA na amefanikiwa lengo lake. Amewapangisha kwa...
Bado Chadema imeshindwa kuondoka mikononi mwa mikono ya Mbowe hii ni baada ya kupanga nyumba maeneo ya Mikocheni, nyumba inayomilikiwa na Mwenyekiti wa chama hicho Aikael Mbowe mwanzo chama hicho walikuwa wamepanga ofisi Kinondoni mtaa wa Ufipa nyumba iliyokuwa mali ya Edwin Mtei.
Sidhani kama...
USHINDI WA RAIS SAMIA 2025 NI ASILIMIA 95.
Tanzania tumezoea Siasa za Ushawishi kufanya siasa bila ya ugumu wa kuhasimia au kugawana hizi ndiyo siasa tunazozitaka. Mawazo tofauti si chuki si uadui ni uwezo wa kuzidiwa ushawishi tu.
Mfumo wa vyama vingi ulipokuja Tanzania Mwaka 1992, ulikuja na...
Baada ya kuapishwa Machi 19,2021 Rais Samia alitamani kuona Tanzania inasimama peke yake bila kutegemea mikopo, lakini ukitizama katika hali tulivyokuwa nayo ilikuwa ni sawa na kujichimbia shimoni!
Siku zote palipo na matatizo kuna mzizi wa tatizo lenyewe huo ndiyo wa muhimu kuukata! Matunda ya...
Memento Homo. Memento Mori.
Julai 12 mwaka 100 BC katika mji wa Suburra huko Roma ya Kale, alizaliwa mtu aliyekuja kuwa Jenerali wa Jeshi na mtawala mashuhuri wa dola ya Kirumi, Julius Caesar (Kaizari). Kabla ya kuja kuwa mtawala wa Roma, Kaizari alikuwa Jenerali hodari aliyeongoza dola ya kale...
Hakika tunaye Rais na Mama anayejali na kusikiliza kifupi tuseme anatudekeza Mama ametambua kuwa hakuna Amani bila Maendeleo, na hakuna maendeleo bila Amani Mama anataka maendeleo haya yadumu miaka na mikaka kwa kuheshimu haki za binadamu, na utawala bora wa sheria.
Ndiyo maana kila wapinzani...
Jana chadema walizua taharuki kubwa mitandao kwa kumtuhumu Mkuu wa wilaya ya Momba Mhe. Kenani kihongosi kwa kuwahujumu mkutano wao na mpaka wakashtaki kwa Askofu Mwamakula wao na yeye akaenda mbali mpaka kuandika Waraka wa wazi kwa Rais Samia.
Leo Asubuhi kwa ratiba yao walipanga kuanza...
Katika hali ambayo haijatarajiwa na wengi ni kutokana na muitikio hafifu wa wanachama wa CHADEMA katika mkutano uliopangwa kufanyika katika viwanja vya shule ya sekondari Nyerere hapa Tunduma.
Watu wa Tunduma kisiasa husemekana ni watu wenye Joto la mageuzi lakini hali ni tofauti hadi muda huu...
Askofu Mwandamizi Jimbo kuu la Tabora, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.
Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.
Tabora ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.