Pole sana! Hiyo hali ni ngumu sana na inaweza kukufanya ukachukuwa maamuzi mgumu ila kama unamwamini Mungu lazima uwe mvumilivu na kukazana kuomba, unapotaka kitu ambacho ujawahi pata lazima ufanye kitu ambacho ujawahi fanya.
Watu wana tabia ya kuwaharibia tu wengine sifa! Nani yupo sure kama kweli hiyo barua imetoka china! Tuache ujinga watanzania na tufanye kazi za maendeleo kuliko kukaa na kufwatilia maisha ya watu.
Huu ni ujinga wa clouds na mwanafa coz hukutaka kusikiliza, yeye anajua hana jipya then anaandaa show siku moja na mtu mwenye akili, hii ni fundisho kwa wasanii wote hapa nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.