Joseph hata kama kweli hakua mtoto wa kumzaa wa mzee kabila lakini ni wazi kwamba mzee alimpenda na kumuani sana licha ya kujua si wake,na hata mzee alipofanikwa kuichukua congo alimpa nafasi nyeti sana jeshini kwa kuwa alimuamini pia alikua akimuandaa.
Mods kwanini mmechakachua ID yangu bila kuniconsult???.....mmekaa na kutafakari athari za uamuzi wenu huo wa kibabe au mlikurupuka tu kwa kujiona mko juu ya sheria,hii sijaipenda,natoa masaa nane mniombe radhi hadharani ikiwezekana kwa kuasisi thread nzima na pia mrejeshe id yangu kama...
Ni makala mheshimiwa sio nakala.Tumeshindwa katika nini hasa labda umeshindwa wewe na genge lako,leo watu hawako tena kamati kuu...na pia watatakiwa kuchagua kati nec ama ubunge huo ushindi wa kupita pita makanisa ni ushindi hafifu sana
kweli wale wanatisha burger zao bomba na ziko kwenye kiwango hicho for more than 4 years now,mwanzoni walianza hapohapo moroco lakini upande unaokabiliana(mkabala)na jengo la makao makuu ya zain kulikua na viti kabisa hapo palipo na garden ya hiyo petrol stesheni siku hizi,naona baade wenye...
wewe kenge inaonekana moja kwa moja ni mtetezi maalum wa lowassa maana unajibu kila coment inayomhusu jamaa,nimekutazama sana,uzuri watetezi wa lowasa kila siku ni wale wale mnahama toka thread moja hadi nyingine,ndio hatupati tabu siku hizi na umaarufu wa bandia wa lowasa humu ndani,maana...
mbona unakurupuka kiasi hicho mzee,nani kazungumzia habari ya urais?umeona neno urais au rais kwenye comment yangu uliyoniquote au umeona nimesema kuna mtu katangaza nia ya kugombea urais?muwe mnasema kwanza comment ya nusu mstari na unaona uvivu kuisoma yote.
mdau usije kupigwa ban bure kifilio ni kiswahili safi kabisa cha neno sharpener kwa maana ya kichongeo watu wa bara wanavyoita,lakini kiswahili chake kwenye kamusi ni kifilio sio kichongeo!
Musiba na willy Gamba "wake" alitukamata sana wengine miaka ile,mpaka eti tukawa tunamtengeneza willy gamba vichwani mwetu kwamba ni kijana fulani mtanashati hivi..shushushu hatari mwenye uwezo wa hali ya juu wa sanaa za mapigano.Nakumbuka willy gamba na ushujaa wake kwenye vitabu vya Elvis...
Bwana SINKALA uraia wako inabidi uchunguzwe japo unaongea kiswahili cha kuandika kwa ufasaha,wewe ni mzambia,japo utajifanya mtu wa mbozi..hongera kwa mafanikio katika soka la africa
Hapa kwenye vide hii ukitizama vizuri utawaona cindy kulia kwa koffi na meje kushoto (01:03) kwa koffi wote wakiwa wamevaa suti za kijivu wakijichanganya na waimbaji wa kiume,hii ilikua ni birthday ya koffi kutimiza miaka 52!meje baadae aliondoka kundini humo na kutua kwa tshala muana baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.