Ni nadra sana kupata msaada ukiwa highway kutoka kwa madereva wa magari madogo , Hawa jamaa wa magari makubwa(malori) huwa na msaada sana aisee....big up kwao.
Acha kuwachomea wewe.....aliyekutuma kupanda hizo gari ni nani? Umetatuliwa shida yako unaanza kulaumu, ulikuwa hujui kwamba hzo gar huo mwendo ni wa kawaida sana kwao??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.