Nilipewa lifti kama mala mbili na mzee mmoja wa bandari, alipotaka kupita geti la chuma wakamzingua nikaona anatoa karatasi akawapa wale wanajeshi, walipoisoma wakamrudishia akaihifadhi humo kwenye gari, nilipomuuliza aliniambia huwa wanaitoa ofisini ila hakunifafanulia zaidi, jaribu na wewe...
wanaopita geti geti la chuma na magali yao wana vibali mahalum mfano, mfanyakazi wa bandari, mwanajeshi, polisi na viongozi ila kuna fomu unaijaza unakuwa nayo, ukipita hilo geti la chuma lazima uonyeshe kwa wale wanajeshi wanao simama hapo getini.
UROHO M-BAYA...Mwizi alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka,akaonja kimoja akaona ni kitamu kina chumvi chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa CHUMBA CHA KUTAHIRIA!! eti unahisi alikula nini?
hawa wasomali ni wabinafsi sana, niliwahi kupanga nao nyumba moja, mimi nilipanga fremu ya biashara wao walipanga kwa ajili ya makazi maeneo ya tandika, ikiwa watatoka lazima wazime umeme nyumba nzima hadi watakapoludi, walikuwa wanatuzuia tusichote maji japo tunalipia, ilikuwa marufuku kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.