Habari wana JF.
Mpaka sasa sijapata jibu kulikoni serikali inashindwa kuweka kipengele cha dini ya mtu kwenye fomu za sensa ilihali kuna kipengele cha kuhesabu makanisa na misikiti-utata huu ni kukwepa kitu gani?
Kwa mtazamo wangu -ikiwa niko sahihi-wakiristu na serikali wanataka kipengele cha...
Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa...
Habari za mchana waungwana.
umeme -je wajua kuwa kupanda kwa umeme ni kupanda kwa karibu kila kilicho lazima kwa maisha ya mwanadamu?-unga, mchele, maji, nk.
Je wajua kuwa hali ya Mtz wa kawaida kwa sasa duni kuliko miaka 50 iliyopita? Je wajua kuwa wanasiasa na watendaji wasiowazalendo ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.