Ndoa ili iwe tamu ni kumuoa mpenzi wako ambae umekua nae kwa muda mrefu na mmesha zoeana kwa kila kitu. Sio unatafuta mke mwezi mmoja tu au miwili unaoa, matokeo yake ndo unajikuta umeoa mtu usietegemea
Kula mali ya mtu ni kumpa huyo mtu haki juu yako au kama ulivyosema, kujifunga kamba au kujigeuza mtumwa wake. Mtu timamu na makini sio rahisi kabisa kupokea vya bure
Ile haikua faulo kwamba tuskilize watalamu wanasema inaamuliwa vipi. Pale lilikua ni swala la macho kufanya kazi kwamba mpira umeingia au haujaingia, na mpira kwa macho ya kawaida kabisa unaonekana umeingia. Kwaio hapa hata nani aseme nini haiwezi kubadili fact kua lile ni goli
Huyo anaonekana hana heshima. Kushindwa kukupa hata taarifa ni kukudharau. We hapo mueleze alivyozingua ili ajue maana tofauti na hivyo atajiona yupo sawa na atakuona kua anakumiliki.
Baada ya hapo usije mpa tena muda wako
Kwanza jiulize kama ameweza kufanya hivyo ndani ya muda mchache tu ambao mmeachana kidogo(wewe kwenda kusalimia), sasa je mkiwa mbali mbali kama mnavyokua kikazi inakuaje! Bro hapo huna mwanamke, mkimbie mbali kabisa
Sema kweli lakini ubunge ulitakiwa kua na limit ya mihura, mihura miwili tu unaachia wengine nao waonyeshe wana nini. Sasa mtu anataka kila siku awe yeye tu! Huo unakua ubinafsi sasa
Hapo no way aanze tu yeye, vinginevyo awe mvumilivu mpaka kijana atakapo funguka.
Kuanza yeye kutasaidia kuokoa muda kwa sababu huenda pia kijana ameonyesha hivyo ila asije kuwai kumfungukia kwa sababu sometime wanaume kuna sehemu tunatokeaga kuzielewa ila tunajikuta hatuzifungukii kwa kujiona...
Usiache kazi. Endelea kuifanya huku ukitafuta nyingine au ukitafuta mtaji uje kufanya biashara.
Hakikisha unastick kwenye io plan kiufasaha kwa kuhifadhi hela vizuri mana vinginevyo unaweza jikuta unaifanya kwa muda mrefu na inakuletea madhara ya muda mrefu kwa mgongo wako
Bangi madhara yake ni ya muda mrefu na inahitaji uelewa wa hali ya juu kuelewa kua bangi imekuathiri.
Madhara yake makubwa ni kwenye tabia. Unaweza jikuta unageuka kua mtu wa kupenda kujitenga sana na watu au kugeuka kujikuta kampani yako unayopenda ni ya wavutaji wenzako. Hapa bangi inaweza...
Kua na nguo nyingi sana sio kitu kibaya kwa sababu inafanya unakua na options nyingi na unakua huchakazi nguo kwa sababu unaivaa mara chache ndani ya muda mrefu. Muhimu tu ni kuhakikisha unanunua nguo nzuri kweli kweli ili usije jikuta unakua na nguo nyingi ambazo hazieleweki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.