Bila shaka ushauri utazingatiwa mimi pia nina tatizo kama hilo nitajitahidi kuwatafuta mabigwa hao wa magonjwa ya ngozi. lakini sijui kamgomo kameisha au bado kanaendelea kiana. -
NIMEYAPENDA MAWAZO YAKO MKUU, MARA NYINGI TUNAHITAJI MAWAZO PEVU KAMA HAYO KWANI YANATUSAIDIA SANA SISI ZOTE NA TUKUMBUKE KWA SASA MARADHI IMEKUWA NI SEHEMU YA MAISHA YETU. BIG UP MKUU.:nod:
NINA TATIZO LA KUWA NA VIDONDA MDOMONI NA KWENYE KOO KWA ZAIDI YA MWEZI SASA, NIMEKWENDA HOSPITALI NIMEPEWA VIDONGE AINA YA AMOKSRINE NA AINA NYINGINE YA ANTIBAYOTIKI PIA NA DAWA YA MAJI YA MATONE LAKINI NAFUU NIMEIPATA KIDOGO. JE KUNA MWENYE UJUZI WA TATIZO HILI NAOMBA MSAADA WENU WANA JF.:nod:
This is more than confusion concerning her age, nakumbuka alipohojiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi kuhusu age yake alisema she is 18 years old.Sasa inakuwaje ana miaka 17 baada ya kutuhumiwa kumuua S.T.
-
sijui hasa ni yupi maana wako wengi kama ukivyotanabaisha mkuu, lakini chanzo cha hii niuzi hakikusema ni nani kama ni yule mwenye rough surface or not nitaendelea kuwapasha nikipata habari zaidi.
Nasikia mke mdogo wa gwiji la muziki wa taarabu kama siyo vidole juu nchini mzee yusufu amepata ajali alipokuwa akiendesha gari la mumewe kwa kugonga mwenda kwa miguu ambaye amevunjika mguu.inasemekana mke mdogo huyo wa mzee yusufu alikuwa ameutwika vibaya kama siku karibia kuzimika alipokuwa...
Nani kakwambia pikipiki za kichina wajifunza leo na kujua leo? Weee zawachinja kama kuku cha msingi hapa ni kuwapa pole wale wote waliofikwa na masahibu hayo na c kulinganisha baja na toyo hizo zote zinna mfumo mmoja tu wa uendeshaji. Poleni wahanga wa tukio hilo na ninawatakia afya njema...
kwa wale tuliwahi kusoma pale shinyanga commercial institute a.k.a shyom bila shaka mtakuwa na mambo kadhaa wa kadhaa ya kujikumbusha hakika kulikuwa na mambo mengi mazuri na ya kukatisha tamaa baadhi ya hayo mabo ni kama ifuatavyo,
kulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa mwita mnoko huyo usipime...
JAMANI NASHUKURU KWA KUJOIN JF, I HAVE BEEN JUST ENTERING IN JF AS A GUEST KWA MAANA HIYO BASI SIKUWA NA ACCESS NA KUTOA MAADA AU KUCHANGIA SASA NIMEWEZA, JAPO NILIPOJARIBU KUJOIN KUPITIA SIM IMENIZINGUA SANA.LEO NIMEFANIKIWA KUPITA LAPTOP, KWA HIYO TUPO PAMOJA WANA JF. THANKS A LOT.:embarassed2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.