Kuna mfugaji anafuga kuku wa kienyeji huwa anawalisha starter wiki 2 baada ya hapo anawachanganyia chakula simple tu na anawauza kwa Bei ya elfu 10_ 12 @ mmoja wanakuwa wa kubwa,kuliwa kama saso au kroiler.
Kuongeza seat kwenye gari mfano toyota liteace van ukiongea seat zikawa 7 jumla na kadi ya gari inaonesha seat 5 hapo hapata leta shida kwa ma trafic msaada.
Korea kaskazini ni nchi ya ajabu sana mwananchi ukitaka kuhama kwenda nchi nyingn ni kosa la jinai unauwawa, na ukitoroka ukakamatwa unauwawa au kufungwa.
Kuna vijana nawajua wanna pataga kazi za kuswaga punda kuwatoa singida, mantra kuwa nafuu kuja kuwauza wilaya za geita wanatembea njiani usiku na mchana wiki 2 ,,,, mmoja aliponea kukiwa na fisi usiku, ILA siku hzi kwa sehemu kafanikiwa anamaisha safiii tuuu, kashaacha kuswaga punda, mvumikivu...
Ni mm Mkuu, naangalia namna ya ku import gari la miaka isiyozid 8 toyota hilux ili nilipiwe na serikali import duty ambayo ni kama 8 mil.mimi ni muajiriwa serikalini so likija kwa meli itakua rais kufatilia document ili nipate punguzo la kodi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.