Chinese investment in Tanzania bears bitter fruit
Kipawa, a district of Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam, used to be a lively neighbourhood, home to about 1,300 families. Many residents had lived there for most of their lives. Now, the area has been completely demolished and fenced...
Sasa kaka tufanyeje?
Nchi tunaipenda na tukiwa nje tunaitetea kwa nguvu zote tena mpaka tunataka kurusha ngumi
Lakini situation on the ground ndio hii
sasa tufanyeje?
Naomba utupe mwongozo kaka. Hii patriotism inasaidia nini wakati the game has been rigged ?
wale wanamazingira wa Wakenya waliongoza kupinga tusijenge barabara ya serengeti na cha ajabu serikali yetu ikafyta mkia
leo wamezindua mradi wa bandari mpya ya lami wenye madhara makubwa zaidi kule Lamu na barabara kuelekea Ethiopia na Sudan.
Inasemakana \ni mradi mkubwa kuliko yote Africa na...
Tanzania kila unayekutana naye na kila idara ya serikali utakayokwenda utaambiwa kuna watu wa Usalama na PCCB
Sasa inawezekana vipi watu wanafanya ufisadi wa kutisha kuanzia mambo ya ndani, Ulinzi, Afya na kwingineko halafu hakuna chochote kinachofanyika?
Inawezekana vipi tunaambiwa PCCB wana...
Huyu hana habari
hastuki
and she doesn't care about the job loss kwa watanzania
she doesn't care about the loss Government will get
and she has supporters hapa JF kuwa anaonewa
Kuna Tamko limetolewa na Ikulu hivi punde kuhusu mambo ya Open Government Partnership
sasa mbona hawasemi kitu kuhusu hili kama kweli wako serious?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/170168-wasiotaka-ikulu-iwe-na-website-hawa-hapa.html
sasa nahisi kuna wafadhili wameuliza kuhusu...
Habari rasmi kutoka Zanzibar, zinasema kuwa meli moja ndogo ya mizigo inawaka moto.
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo, amenieleza meli hiyo MV AL NAIM, ipo nangani bila kufanyakazi kwa muda mrefu sasa. Na kuongeza hakuna hatari za watu au mali inayoweza kutokea katika meli hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.