Nmekuwa nikimiliki eneo kubwa sana, katka eneo langu kuna sehem haya madini yanapatikana kwa wingi sana sasa natafuta soko lake
Atakae nipatia soko lazma atapata 5% ya mauzo
Ahsanten
Nilkuwa nafanya mishe zangu za kitaa nikanunua gari...
mungu ni mwema nikapata na kazi nikaanza kaz huku namilik gari wacha weee idara nzima tulio kuwa na gari tuko 4
boss hana gari aisee nilijuta maneno kibao mara naringa mara mvivu kazn
Kulikuwa na group moja la whtsap niliungwa na rafiki angu ninae muamin sana
Ajenda ya group ilkuwa nikuagiza vitu China kwa bei ndogo
Na walikuwa wakituma picha nzuri za bidhaa mbalimbali ekheeeee
Wacha na mie nione nimepata chimbo la vitu nikaweka kama lak 3 kianzio, nikaona watu ni wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.