Habari wakuu, mimi ni Mtanzania! Lakini haya mambo yananikera sana yanayofanywa na viongozi wetu wanaojiita wazalendo,
1: Kumuona mtanzania mwenzangu anakamatwa bila sababu ya msingi kisa tu ni upinzani, huwa nakosa amani, mm nimeokoka na nimuombaji sana, lakini ninapoona haki ya mtu inaporwa...
Habari wakuu, kiukweli Serikali hii imetuumiza mno, kwenye makato haya ya simu, mm nafikiri kabla ya kuwaza kumkata mwananchi wa wa butobori!!! Wangeanza kufanya haya
1: Kupunguza posho na mishahara ya wabunge, na kuondoa viti maalumu havina kazi, sambamba na kuondoa wabunge Covid 19
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.