Habari wana JF,
Naomba msaada ili nipakue app kutoka playstore. Nimeshindwa kwa sababu nahitajika kuweka password ya email yangu na nimeisahau hiyo password.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.