Mimi nazani dalili za mvua ni mawingu uyo mwanamke atakua bado ana mapenzi na ex wake kwahiyo subiria lolote na usipo kua mkali na kujaribu kumueleza ukweli mkeo basi dakika si nyingi watajikokota na ex wake kwenye stage nyingine ya kukumbushiana.
Chama cha ACT ni kweli kipo na nimeshaona kadi kadi ya mwanachama mmoja wapo , wanaendelea tu kuvuna members kwa kufujo ila sanax2 mkoani kigoma na wilaya zake maana Zitto ndipo anapokubalika sana na ndugu zake ila wasix2 wangu tu ni hiki chama pia kuja kuonekana cha kikabila hivi karibuni......:)
Himidini upo sawa kabisa awa viumbe wenzetu wakati mwingine ni ngumu sana kuwaelewa na ukizingatia waliumbwa kama wasaidizi wetu wa karibu katika maisha basi nazani wana uwezo mkubwa wa kuvumilia na kupretend kua na mwanamme wa aina yeyote tu ata kama hakubaliani naye moyoni mbaya zaidi ni ata...
Tunapo maliza shule tu na kuingia mtaani , pale ndo tunakutana na hali halisi na shule ya ukweli ya mtaani , kitu ambacho tunakuja kugundua ni kua yale makaratasi yetu darasani hayakua na msaada mkubwa sana zaidi ya kukuandaa kua tegemezi kwenye mifumo rasmi ya ajira ambayo ata kama utafanikiwa...
Dunia tambala bovu,walimwengu ndo walivyo...tenda wema nenda zako usitegemee sana kulipwa ata kama ni mkeo/mumeo wakati mwingine kumuwekea dhamana binadamu anaweza kuamua tu kukushangaza na kusahau wema wako wote.....R.I.P Joseph.
Pole yake ila tatizo ukiamua kufanya biashara hii kwa namna yeyote ile hauna tofauti na muuaji maana madhala ya dawa za kulevya kwa jamii yetu ni makubwa sana na inasikitisha sana kupita kiasi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.