Sio kila mtu lazima afanye kazi fulani .
Kuna kitu kinaitwa presentation(mwonekano)
Hata ukikataa lakini ukweli ndio huo .kama huamini nenda vodacoma customer care uone kama utakuta wazee au wabibi?
Logic ndogo sana.
Hata mfanyeje ila mfanyakazi nitampata lakini hii ni mara ya mwisho kuleta...
Mkuu heshima ifuate mkondo wake.
Huyo dada mwambie alete vithibitisho manake namba yangu na kila kitu vipo wazi.
Kumtaka mtu kimapenzi ili apate kazi ni kosa kisheria na kuna mashirika mengi sana yanaweza kunipeleka mahakamani.
Siwezi kuthibutu kufanya alichosem huyo dada.
Athibitishe kama ni...
Ndugu yako yupi.
Muulize vizuri kama kweli John Mlacha ndiye kamfanyia hivyo?
Au umependa tu kuniharibia?
Mwambie huyo ndugu yako alete hata meseji zake ambazo nimewasiliana naye.
Kumbuka tumefanyia interview watu wengi sana mimi nikishawafikisha kwa HR sijui nini kinatokea huko.
Ila kama...
Asante kwa kunitukana,
Ila mwezi wa 11 nilikuwa natafuta waiter na nilimpata kupitia hapa hapa JF.
Na wewe labda ulichelewa.
Kwa sababu imagine hata wiki hii kuna mtu alinipigia kuulizia kazi ya mwezi wa 11 ambayo mtu alishapatikana.
Kwa hio akipatikana mtu na akaajiriwa sio kwamba mimi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.