Heri leo sijaamua kuangalia mechi yetu na Liverpool kabisa,maana unazi ukizidi utaumia roho tu...poleni Sana mashabiki wenzangu wa man utd mlionunua na pop corn kabisa ili kufurahia burudani yenye majonzi...naamini sasa Kama mashabiki wa man utd tulishaanza kuzoea shida tayari basi hata hili...
Hah dah eti kajumba ka uswahili,suala la uchawi Lina angle nyingi sanaa,unaweza kurogwa kwa njia nyingi...au unaishi kwa kujishtukia Nini?...jifunze kusema hapana au nimeshiba.
Hiyo skuz achana nayo kabisa,hakuna Kama yeye Kati ya hao wawili...Iniesta na Xavi wanalifahamu hili hadi timu yao ya Barca siku mojamoja hutenga muda kumuangalia paolo...
Mimi najiuliza tu like teke la farasi la Maguire lililompata pogba lilipigwa kwa makusudi au bahati mbaya,hivi urukaji gani ule wa kubetua miguu Kama unapiga sarakasi jamani...
Wote wezi tu hakuna afadhali kila awamu ni ya wezi tu toka uhuru,vingine vinaogopwa kusemwa au vimefichwa makusudi visijulikane ili kulinda legacy fulani bin fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.