Unaenda ofisi yoyote ya tigo ukiwa na NIDA au kitambulisho chochote mfano cha kupigia kura au leseni ya udereva,unajaza fomu unachagua bundle kulingana na uwezo wako kiuchumi
Mi ndo ninayotumia,Ni huduma nzuri sana,Nina mwaka na zaidi naitumia,kwa elf 30 kwa mwezi napata gb 24, dk 2400( mitandao yote) na sms 500 . Ifikapo trh 1 ya kila mwezi unawekewa bundle yako
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Bei inatofautiana kulingana na chumba kilipo, mjini ni kuanzia elf 60-100,000( self contained room) maeneo Kama Mwatulole, Nyankumbu au Mkolani ni kuanzia elf 50. Vya kawaida ni kuanzia elf 30+ kutegemeana na mahali kilipo, Niko Geita mjini kwa maelezo zaidi njoo PM.
Situation ka hii ishawai nikuta,Nilikuwa namfowadia mtu porn nkasahau nkaituma on my status,Japo niliifuta haraka lakini Siku nzima niliishiwa amani kabisa,Ilifikia hatua nkahisi wabaya wangu wenye WhatsApp gb wanaweza kunirepot TCRA nishitakiwe kwa makosa ya mtandao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.