Search results

  1. M

    Nahisi ugonjwa wa moyo unaniwinda baada ya kuachwa na mwanaume aliyenizalisha

    pole sana dada lakini tambua kila jambo hutokea kwa sababu,huyo hakuwa wako tulia soma fanya ibada na endelea kumheshimu Mungu hatimaye atapatikana wa kwako....hayo ni madhara ya anguko la mwanadamu pale Eden kaza moyo songa mbele
  2. M

    Ukipata mpenzi mpya fanya hivi!

    endeleza hivyo usilete nyodo utaachika pia
  3. M

    Hivi mzee Membe alisharudi CCM?

    Ni muda sasa sijamsikia mzee wetu kachero mbobezi Bernard Membe hivi alisharudi CCM?
Back
Top Bottom