mm ni chizi ila ww ni punguani yan mnajifanya wajuaj sana ktk maisha ya watu jitathmin,yan ulicoment km mchawi alietoka kuwanga inaonyesha ni jins gn unaroho ya makasiriko kwa mamb yasiyo na ulazima,
Mchiz kaomba ushaur kitu ipo wazi ww unaanza kumuuliza maswal ya kimandazi
pole unanikumbusha tar 6/12/2022 nipo kampuni flan kubwa sana hapa bongo na mmiliki wake ni muhindi anakaa mitaa ya masaki(buzurugwa) karibia na ubalozi flan wa nchi ya africa nilifukuzwa kazi hata sikutegemea ambapo mm ndio niliekuw nasifiwa ktk kujali muda na utiifu ktk maswala flan hv na bado...
mm ni muslim lkn kunachoendelea zanzibar sikifurahi kabisa watu wanajifnya sana wanajua dini wanajifny kuwa wanaimani zilizothabiti lkn wanakosea mno
em warejee kisaa cha yule jamaa aliekojolea msikitin lkn naswahaba wakataka kumbonda lkn mtume wa Allah akatumia busara kumuelewesha jamaa hii...
acha kejeri za KIFALA km ww unauwezo acha kumkebeh,kama hauna uwezo wa kumsaidia huyo dada kausha acha ujuaj mwanang haya ni maisha hakuna ajuaye kesho yake ht ww nadhan umesaidiwa hapo nyuma kwahy acha maneno ya namna hii,hakuna apendae kupitia shida,ACHA KUMKEBEH HUYU MWANAMKE AWE MUONGO AWE...
kausha mkuu siku zote tunafundishwa ndoto uotazo mbaya ibak moyon mwako na uhakikishie unakemea hilo,ndoto zilizo njema simulia kwa wale watu unaoamin wanakutakia mafanikio mema
huo ni ugoro mtupu hv unauhakika baba ako hajawah kukopa au hujalelewa na baba ww!!?mkuu shukuru km ww unajiweza ila usianze kuleta maneno ya kifedhuli au ndio MASIKIN AKIPATA MATAKO HULIA MBWATA
na sikuiz kuna styl nyingn hii hasa wanatumiaga kwa wadada kuwapiga anafika anajifnya kuazima cm ampigie mtu kuwa simu yake imezima na yeye ni mgen hapa jijin wanavizia sehem zenye msongamano meng wa magar ukimpa tu anavunga kupiga cm alaf anavuka road chap....hapo jua imeisha
kikubwa anakupa furaha na mnapendana usiwaze kuhusu kabila lake,tukisema kila kabila tufatilie kiundan zaid hatutaoa kikubwa tambua ndoa zinachangamoto zake nyingi san kuwa tayar kukumbana nazo kikubwa mwambie bibie awe mvumilivu zaid ktk maisha isije ikatokea siku ukakosa akanuna au kujutia ndoani
yan inaonyesha ni jinsi gn hujielew hauna akil ww ni mwanamk usiekuw na misimamo yako yan nyie ndio mkija kuolewa kuliwa nje ya ndoa ni kawaida sana..KIFUPI HAUJIELEW
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.