Ahsante kwa kwa hii story konda msafi. Nilikuwa naifuatilia kwa ukaribu kabisa. Ila naomba utuambie je wale jamaa zako uliowatuma wakachunguze chanzo cha kifo cha Khumbu walirudi na feedback kuwa chanzo ni hicho cha kubanwa na mbavu? Hapa umetuacha njiapanda.
Ahsante.
Nimegundua sisi ni maboss tunaopelekeshwa na wafanyakazi wetu.'''''!!
Imagine walituomba kazi af leo wanatuambia hivi.....?? Kwanini maboss wenzangu tusiamke nakuwafuta kazi???
Hivi kile chama cha walimu hakioni hili tatizo??
Kwann hakiazishi mfumo wakuwapokea hawa vijana pindi wakimaliza chuo ...kuliko kuwaacha wakizagaa na kufanya thaman ya hiyo kazi ya ualimu kushuka??
Ifike pahala viongoz wajue uhai wataifa lolote lile ni elimu.
#Vijana wenzangu wenye vyeti vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.