Mh I'm big African super star, From mtwara city boy go far.
Pretty morning baby see them cars, Na hazina pakukaa and I got this far.
And I was born Leader, Yaani kifupi nazijua shida.
Kusimangwa kutukanwa kwangu kawaida naona barida. This,
Yes they call me boss, Kama hautaki sikuforce
I love...
Hivi unajua kuwa, kuna watu hawajui kama Hatia VI tayari inapatikana kwenye platform(s) zote kwasasa.
Mbali na hilo, pia kuna watu hadi leo hii bado hawajaiskiliza ngoma nzuri sana za Dizasta Vina kama;
-Achia jala FT Kaa la Moto
-Wachezaji wa timu
-A father figure
-Money etc...
Lakini sawa...
Manyara Babati, Katesh, Karatu wapelekee nguo za Special na Viatu.
Kondoa Bukuru, Chemba na Galapo wapelekee Cosmetics, Nguo za kihindi na baibui usisahau Sendo za kike.
Mtwara vijijini wapelekee simu, USB, Earphones na charger usisahau Sendo za kike.
Yes they call me boss, Kama hutaki sikuforce...
Nisamehe kama nakukera, Ila kitaa ndo kimenipa bendera,
Narusha masela mpaka walio jela, Of course of course of course... [emoji445][emoji445]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.