Umeona kitu eBay hufahamu utakipataje na umekipenda nitumie link kwenye person meseji ya jamii forum pamoja na namba yako nikusaudie kwa gharama nafuu kabisa.
Mimi nimeshanunua simu na vifaa kibao vimefika.
Mfano ni simu unayoiona hapo.
Habari.
Naomba Kwanza nikuelekeze kitu, awali eBay ilikuwa inaaminika Sana hadi kipindi Cha karibuni hapa kuna wana wameingia ndugu yangu usipokuwa makini unaibiwa. Nunua bidhaa kwa mtindo wa auction au mnada hao wanauza kwa mtindo huu eBay wapo realistic, hao wanaouza s9 dola 12 mataperi nunua...
Inaonekana means ulitaka tamko lisisambazwe? Limesambazwa watu wamelisoma na mimi Kama wananchi huru wa Tanzania ninachoelewa hata wewe pia unatumiwa Kuna unaowatetea hawaukubali ushoga ila unakubaliana na mengine yote yalioainishwa kuwa ni sawa, Kama kupinga tuyapinge yote tusichague.
Ila ujue...
Swali zuri, Wote wenye umri kama nilivyoainisha wanaweza kufika katika kituo cha kutolea huduma za afya kilicho karibu nao na wale ambao wapo shuleni watafuatwa shuleni hukohuko kwa utaratibu ambao wizara umeuandaa, kwa wale ambao ndugu au jamaa wameumwa kansa ya shingo ya kizaz wanajua umuhimu...
Bima ya Afya inacover chanjo ya HepB ambayo ni muhimu kila mtanzania apate kwani inakukinga na homa ya Ini. Kwa wale waliozaliwa kuanzia 2007 na kuendelea wamepata kwenye chanjo ya watoto ambayo hupewa kila wanapofikisha Wiki 6 tangu kuzaliwa, hakikisha mwanao amemaliza chanjo ya Pentavalent...
Chanjo anayosema Mdau hapo inaitwa HPV vaccine, chanjo hii itaanza kutolewa tanzania kuanzia aprili 2018 kwa watoto wote wa miaka kuanzia 9 hadi miaka 14, chanjo hii itatolewa BURE bila malipo na bint anahesabika amekingwa kwa kupata chanjo 2 kwa interval ya mienzi 6 toka chanjo ya kwanza...
Kuna wanawake wajinga sana, wao wanafikiri kumnyima mumewe unyumba ni kukomesha huwa nawacheka kwa dharau wanawake wenye fikra hizi kwani husahau kuwa wao ni wengi kuliko wanaume pamoja na hilo anasahau anafuga beki tatu, hata siku moja fimbo ya mchungaji haijawahi kuwa na urafiki na ng'ombe...
Kwa tabia hizi juna wengine nahisi tunaishi na vinyonga maana wana tabia almost nusu ya hizi basi ukiona dalili ya mambo kugeuka unachukua kitabu cha mungu unaanza naombi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.