Hakuwa mwanajeshi na walimkamata mtu ambae anafanana sana huyo jambazi ambae tuna undugu nae. Amekaa ndani miaka kumi na tano mpka alipokuja kupatika huyu jambazi ambae alikua kikosi cha jeshi Zanzibar.
Hii njia wanatusumbua sana hao wanajeshi barabara Kama yao. Kuna majeruhi mwanamke mmoja alikua kwenye msafara huo analia tu Mungu amsamehe na anasema akipona anaacha kudanga.
Mwaka 2017 niliitwa kwenye usaili bila hata kua nimetuma maombi, Ni simu za hongera ndio zilinishtua mpaka nikafatilia nikajua ni ukweli bahati mbaya nilikua tayari harakati zangu zinazaa matunda sikwenda. Jiamini kijana hata Kama pepa imevuja bado unayo nafasi.
Mercury hii inayotumika machimboni kwenye dhahabu au nyingine? Mbona kuna kuna watu wanaiuza japo bei ghali lkn sijawahi kusikia hizo story za utafutaji wa aina hio. Matapeli ni wengi kuwa makini.
Hao wapo nchi nzima na si matapeli wana usajili wao wako hapo kihalali kufanya mnada wao. Tz wanapenda vya bure kwa bei Chee! Sasa hao wanachofanya ni kuuza bidhaa za low quality kama Ni t-shirt Ni zile za kchovya vitenge unaambiwa ni wax lkn Ni teleza ya Kenya au laknan zawadi Ni wanazotoa...
Sijawahi kupendwa na mwanaume zaidi baba yangu! Japo amekufa pengo lake ni kubwa mno. Rest easy my father. Na hongera kwa wababa wote wanaotimiza majukumu yao
Unapofiwa na mwenza, mzazi au mtoto maumivu yake machungu mnoo faraja kubwa inahitajika. Sasa wtz wengi wanajua kulia na sio kutoa faraja. Kapumzike kwa baba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.