Je, naweza kumshitaki aliyekuwa mpenzi wangu kwa kunitapeli tukiwa bado pamoja?

Nipo sumbawanga ndugu mleta mada nipe tenda suala lako tukalishitaki mahakama za jadi
 
Habari zenu wanajukwaa.

Naomba kuuliza swali kwenu.

Je, naweza kumshitaki aliekua mpenzi wangu kwa kosa la kunitapeli kipindi cha mahusiano yetu kwa kitumia uongo kwa lengo la kufanya utapeli huo?

Kwa ambao wanaweza kuchangia naomba ufafanuzi?
Nadhani tatizo lilianzia hapa
 
Kesi za uhawara kama hizo huwa hazichukuliwi uzito mkubwa, labda kama mmeumizana kwa kuchomeana nyumba ama kwa kuchomana kwa magunia ya mkaa.

Hizo kesi ni sawa na bibi kushitaki wajukuu zake kwa kuingia shambani kuvunja mahindi bila ya kibali chake.

Kwanza unapopeleka malalamiko, ukishaulizwa huyo mtu ni nani yako, ukiishasema tu 'ni mpenzi wangu', utakuta sura za wanaokusikiliza zinabadilika muda huo huo na pressure ya kuchukua hatua inashuka..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunaga makubaliano ya pesa palipo na mapenz

Viwili hivi huwa havichanganyiki
 
Yanatukuta Sana wanaume Kwenye mahusiano.

Unamgharamia mwanamke Sana afu ghafla anakwambia TUACHANE. Na kweli mnaachana.

Na huwez tena kudai urudishiwe vitu ulivomzawadia.
 
Wapo ila mpaka utembee na wanaume wengi tofauti tofauti ndio unaweza kupata ngekewa ya kukutana na mtu wako mmoja kama mleta mada. Ni kama "jackpot bingo", biko, tatu mzuka, patapata, bahati nasibu ya taifa tu kadiri unavyocheza mara nyingi ndivyo unapoongeza nafasi ya kushinda. Kwa hiyo hakuna cha bahati wala nini wewe jilipue tu kila anayekuja mbele yako twende nina hakika baada ya muda utakuwa na wewe umepata wako kama mleta mada. Vinginevyo njia rahisi mwendee mleta mada DM fasta uchukue nafasi iliyoachwa wazi kwani mleta mada hakusema kama kuna mwingine kashachukua nafasi.
Miaka imekwenda wapi Mamndenyi
 
WE BWEGE KWELI....ulikuwa unamkaza bure........wewe ni wa kuzaba kibao....pumbafu sana....kila siku tunawafundisha hapa.....jengea nyuma MAMA yako...na sio DEMU-tambara la deki.......
 
Yanatukuta Sana wanaume Kwenye mahusiano.

Unamgharamia mwanamke Sana afu ghafla anakwambia TUACHANE. Na kweli mnaachana.

Na huwez tena kudai urudishiwe vitu ulivomzawadia.

Aisee ni kweli yan ivi viumbe duh basi tuu
 
Back
Top Bottom