Tatizo la ukusanyaji wa kodi katika nchi hii limekua changamoto kwa muda mrefu. Moja ya matatizo hayo ni misamaha ya kodi kwa makapuni makubwa mbayo inapelekea kuikosesha serikali mapato. Pamoja na makampuni makubwa, kuna haya wenzetu wabunge ambao nao wana misamaha lakini hawataki kuiongelea...
AFRIKA KOMMT 2013-2015
An Innitiative of German Industry for Future Leaders from Sub saharan Africa. For more information and application procedure please read the attached file.
Katika kipindi cha Baragumu (majadiliano) kinachorushwa na Channel 10 leo asubuhi kulikuwa na mjadala kuhusu suala la vijana wanaomaliza kidato cha sita kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria.
Wengi waliochangia walisema JKT itasaidia kuongeza uzalendo kwa vijana.
Kwa upande wangu nimekuwa na...
Training Opportunities
Jun 18 -
Jun 29
Sustainable Microenterprise and Development Program (SMDP) Certificate
Date: 18 June 29 June 2012
Location: New Hampshire, USA
Fee: $4,250
Application Deadline: 4 May 2012 (to be considered for scholarship)
This two-week program emphasizes a...
Nimekuwa Mbeya kwa muda wa miezi miwili sasa. Modem za vodacom zinasumbua sana, connection ni tatizo na hata iki connect inakuwa slow sana mpaka inachosha. Tatizo jingine unaweza kununua vodabomba ya siku 30 lakini cha ajabu unakosa connection kabla ya hizo siku 30 kutimia. Nimejaribu kutembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.