Mimi ni Yanga ila Okwi ni mchezaji bora kabisa kuwahi kucheza soka la Tanzania.
Yaw Berkooo, mpaka sasa sijaona kipa mzuri Yanga kama Yaw Berko ktk kipindi chake. Huyu Mghana alikuwa anajua kuzilinda nyavu.
Pole mkuu, tatizo lake ni hilo? Ongera, mvumilie na usiache kumrekebisha hata ikachukua miaka 10 atakuja kubadilika tu.
Kama hagongwi nje, analea watoto na anatimiza majukumu kama mama, mpende na kumvimilia. Usijaribu kumuacha kwa changamoto hiyo.
1. Inabidi ifahamike kuwa, round ya kwanza kwa mwanaume huwa inawahi sana, this is nature, so it is normal unless mwanaume awe na shida ktk uume wake kwa kuukomaza na masturbation, hapo anaweza chelewa sababu ule mshipa umeshaharibika kwa masturbation.
2. Mwanaume pia anaweza akawahi kumaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.