Mke wangu amesafiri kwenda mbali mkoani, nipo na watoto peke yangu, sisi familia yetu hatuna wasaidizi na kwa kuwa maisha tulishaandaa yaaani tulishawekeza mila mwezi pesa inaingia ya matumizi
Nikawa napikia watoto mwenyewe na upishi wa jana ijumaa, yaani akaja shemeji akanisaidia kupika mchana...
Inaweza kuitwa hata mheshimiwa Dr Samia Suluhu
Au ikapewa jina la kiongozi yoyote
Kwani nimewahi kushuhudia mabadiliko ya majina kwenye maeneo tofauti.
Itapendeza zaidi
Nakumbumbuka baadhi ya majambazi waliotokea kusumbua jamii.
1. Enzi izo ni wilaya ya Tarime, Mathumo, huyu alikuwa mwizi wa ngombe
Alikuwa na uwezo wa kuiba ngombe kisha kuogelea nao akivuka nao ziwa Victoria akitokea ngambo ya 1 hadi ya pili upande wa kinesi hadi Sonjo ilikuwa akizingirwa kosa...
Wapendwa nachukua nafasi hii kutaja hadharani kuwa ni kipindi cha vita nchini Ukrain kuisha na mateso kwingineko yatokanayo na vita hiyo.
Mungu mwenyewe atawaua wote wanaohusika na kusababisha vita hivyo kabla ya kufika tarehe 01/1/2023.
Wote wanaowaombea Ukrain, USA, NATO na washirika wake kwa...
Hapa nmejiona mwenye ndoto kubwa kwa kushiriki kinyangario cha kiwango hichi cha pesa nyingi kwenye Jackoprt.
Kuanzia mwaka 2020 nimekuwa nashiriki kila wiki japo nimewahi kushinda mechi 10 tu na kuambulia bonus ya elfu 50 na mimi nishatumia pesa nyingi lakini sioni hasara maana ni pesa natoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.