Kama na wewe ni great thinker, basi Taifa hili bado lina safari ndefu. Muda huu uliotumia kuandika pumba hizi ni Heri ungelimsaidia mkeo kuchambua mchele.
Hata Mimi sijamuelewa kabisa. Kitu ambacho hakijui, unapoandika usiandike kama utakyesoma ni wewe tu, andika ikiwa unazingatia kuwa watasoma wengine.
Pumba mwanzo mwisho.
nakuunga mkono hata kama alimchukia sana mwenda zake apime kaurizake yake maana bado kuna watu wengi bado wanaona mwendazake alikuwa sahihi kwenye baadhi ya mambo, matendo yawe mengi kuliko maneno asionyeshe yeye ndo mdomo wa kikwete ni mapema sana kwa wao kutangaza ushindi.Kama alivyokuwa...
Kusali, kuswali ni masuala ya kibinafsi sana. Nakerwa na tabia za viongozi kila waendapo kusali au kuswali, kuongozana na makamera na kuutaarifu umma. Hizi tabia alikuwa nazo Rais Daniel Arap Moi ambaye pia alijiita mtukufu.
Nyakati za utawala wake kule nchini Kenya, kila jumapili ilikuwa...
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli...
Umewafikiria walio na imani tu (Dini), vipi kuhusu wasio na hizo imani zenu za mapokeo?
Nionavyo Mama hapa
Mungu yupo rohoni mwako. Unaposema tumsifu Yesu Kristu, ilhali wewe ni Muislamu inaleta mantiki gani? Acha ujinga kenge wewe na kujifanya mjuaji wakati umefumba macho huuoni ukweli wala...
Naifahamu vyema kaunti ya Kilifi huko Kenya. Mbona fursa ni nyingi sana huko. Unaishi Kilifi sehemu gani mpaka usizione fursa. Kama unataka kurudi nyumbani rudi. Huku tumepata bahati ya pekee. Tuna kiongozi wa nchi makini kuwahi kutokea. Yote mema chini ya uongozi...
Sio vizuri kuihusisha familia ya Mama Makinda na wizi. Ni miongoni mwa familia ambazo zimemtoa kiongozi mkubwa ambaye amejawa sifa za uchaji wa roho, unyenyekevu na uadilifu uliotukuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.