Acha siasa iitwe siasa aisee! Kashatolewa mtu kafara hapo ila hakuna kubaka Wala nini ila wamekubaliana wakapigana miti ukizingatia corona yenyewe ni promo ya mabeberu
Mkuu gari yangu ni cheser gx100, dashboard haisomi hivyo gia haziingii ipasavyo naomba mawasiliano yako nipo pwani kibaha,pia nahitaji unikagulie gari langu
Kama wmekiuka maadili Wa kuwashitaki ni waajiri wao na sio takukuru,swali muajiri amelalamika kuwa mtumishi wake hajafika kibaruwani? Kwa miaka mi5 hiyo ameshitakiwa malangapi kwa kosa la kutohudhuria kazi zake kwa wakati? Kama hakuna basi Kuna kutafuta Kiki,kuonea wanyonge ama kutengeneza...
Naniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mh watumbuliwe? Kila mmoja anaangalia maslahi yake wote wamejawa na tamaa ya madaraka wanahisi kuwa wapole kutawapelekea kuwa wateule,hilo limepita bila kupingwa labda kwa nguvu ya umaa ndo njia pekee japo kichapo kitatembeaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.