Kama kichwa cha habari kinanyosema; nisiwachoshe wafiwa,mh Rais ndo kama tulivyosikia; na kwa mujibu ya katiba yetu mama Samia ndo atakua Rais wetu kwa muda uliobaki hadi 2025. Sasa swali linakuja, atakua rais wa awamu ya sita....au ya tano inaendelea!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.