Wakuu msaada tafadhali!
Ni kampuni zipi za upimaji [lLand Survey] zinazoshiriki katika ujenzi wa miradi ya kimkakati hapa nchini Tanzania? Hasahasa wanaofanya engeneering survey.
Nahitaji kuomba nafasi ya kufanya mafunzo kwa vitendo [Field] itakayoanza mwanzoni mwa mwezi huu wa tisa, na pia...
Msaada kwa wanaotumia TTCL simcard na universal modem kwaajili ya internate, naomba mifahamishe setting zake ili kuunganishwa kwenye mtandao
Natumia TTCL simcard na airtelmodem ambayo nimeibadilisha kuwa universal with my lenovo desktop window 8.1 pro
Korona imetupa kama kalikizo flani hivi.,
Acha tukeshe humu Jf korona ikiisha tutarudi mtaani kuendelea
kuhangaika na maisha, maana hata mzee mwenyewe anaogopa kumpoteza mwanae hakuruhusu utoke nje kizembe,
Serekali nayo.....< Epuka safari na mikusanyiko isiyo ya lazma>...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.